Tangaza hapa

e

Featured Posts

Sunday, 7 June 2015

Xavi atabiri nani atakua mkali wa dunia baada ya Messi.

Unknown     17:05    



Kiungo mkongwe wa Barcelona, Xavi Hernandez amefunguka kua ni nani ataekaliakiti cha Messi ikitokea Messi anastaafu.
Mkali huyo anaamini Mbrazil, Neymar ndiye atakaekua mchezaji bora wa dunia kwa miaka ijayo.

Ana kipaji, Leo Messi akistaafu atakua naamini atakua mchezaji bora bila shaka" aliiambia UEFA.com.

Anafanya makubwa akiwa na umri wa miaka 23 pekee, na kufanya hivyo ukiwa Barcelona si mchezo.

Neymar anaenda kua na wakati mzuri, hafanyi makosa.

Xavi pia alisema kua Neymar ni mtu poa sana japo huripotiwa vibaya na baadhi ya wapinzani wake.

Neymar amefunga magoli 39 na kutoa usaidizi mara 11 katika michezo 51 na wakali hao wa Catalan.

0 comments :

Top headlines

© 2011-2014 MICHEZONI. Designed by Alfred Meshack Bloggertheme9. Powered by Blogger.